TAJIRIKA NDANI YA MIEZI MITATU 3

Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli

~*Tajirika na Tikiti*~

Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli.....

*TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI*

Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka.

Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000.

Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000.

Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3.

Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja.

*Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.*

*Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*

Comments

Popular posts from this blog

UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI

FUNGULIA MORNING STAR MNAMO SAA 12:00 JIONI