Posts

UMEPITWA NA HII GUIDEBOOK YA NACTE? 2018/2019

Kama wewe ni mhitaji wa kufanya application Nacte Basi usichelewe Pitia guidebook Hii hapa ya Nacte ili uweze kuchagua kozi na chuo. bofya hapa

MWAKA WA MASOMO NDIO HUU 2018/2019 USIPOTEZE NDOTO YAKO

Kwa application za nacte bonyeza hapa

STAGING OF OVARIAN TUMOR

Image

BE EXPERT ON SURGERY

Image
Below are the Parameter of Ulcer, go through it

TABIA YA AJABU SEHEMU-1

Image
USHINDI HATIMAYE- TABIA ZA AJABU -1 Mhubiri: Mchungaji David Mbaga Mhali: Kanisa la Waadventista Wasabato Mabatini Mwanza katika mahubiri yaliyo dhaminiwa na chama cha wanataaluma na wajasiriamali(ATAPE) Mafungu:Zaburi 14:1;Zaburi 34:21;1Samwel 25:2,3 “Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu;Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo,Hakuna atendaye mema.”(Zaburi 14:1-3) Upumbavu ni tabia ya ajabu,ambayo maandiko matakatifu Biblia yanatanabaisha kwamba Mungu anagadhabishwa nayo. Kila kunapokucha kumeendelea kuwa na watu wenye tabia za ajabu maishani.Kuona watu wa jinsi moja wakiwa katika mahusiano ya ndoa,uhalifu,utumiaji wa madawa ya kulevya,ugomvi,wizi,jamii ya watu wasio wakweli,wachoyo,mtu anachangia harusi kuliko kumchangia mtoto wa mwenzie kwenda shule, haya yote ni tabia za ajabu. Kutoisikia sauti ya Mungu ni tabia ya ajabu na Yesu alisema: “Kila mtu anayesikia maneno yangu haya na kuyatenda atafananishwa na mtu mwenye busara. kila mtu anayesikia maneno yangu h

UFAHAMU UGONJWA WA HOMA YA INI

Image
Dalili za Ugonjwa wa Homa ya INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI) Homa  ya  Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa HBV (Hepatitis B Virus). Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B). Ugonjwa huu kama haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo. JINSI  UNAVYOAMBUKIZWA: Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni. Kama ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damu. Njia  kuu  za  maambuk

MTAALAMU WA MAABARA PITA HAPA

Image

TAJIRIKA NDANI YA MIEZI MITATU 3

Image
Mimi sio mkulima ila nimevutiwa na hii sijui ni kweli ~*Tajirika na Tikiti*~ Hii si Hamasa tena ni zaidi ya kweli..... *TAJIRIKA UKIWA KIJANA ~ LIMA TIKITI* Kwa wastani heka moja ya tikiti inakuwa na mashimo ya mbegu kuanzia 2000-3000 na kila shimo linaweza kuzalisha matunda 3-5 maana yake unaweza kupata matikiti 6,000-15,000 kwa heka. Hii inamaanisha ukiuza tikiti moja kwa 1,500 unaweza kupata 9,000,000-22,500,000. Basi tufanye uza tikiti moja sh 1,000 maanake utapata 6,000,000-15,000,000. Kumbuka hii kitu ni ndani ya miezi 3. Alafu kinachoumiza zaidi gharama ya uendeshaji ni chini ya 1,000,000 kwa heka moja. *Ebu jamani tuache utani tujikite kwenye Kilimo maana Kilimo Kinalipa Sana.* *Usiishie kusoma hizi namba kwenye maandishi ebu kafanye kwa vitendo ili utuletee majibu hapa.*

FUNGULIA MORNING STAR MNAMO SAA 12:00 JIONI

Image
MTAJI WA ELFU SABA 7,000/= UKUPE MAMILIONI Ni katika kipindi cha Ujasiriamali na Pr. Mwasomola leo kwenye mfululizo wa Mahubiri ya RUDI NYUMBANI UTABARIKIWA SANA; NUKUU YAKE YA JANA ........Eti Unakaa Dar Es Salaam huku huna pa kuishi chai unakula kipande cha mhogo na chai ya rangi mhogo wenyewe una chumvi nyngi chakula unakula saa 9 tena ugali na maharage eti unakula sema UNASOGEZA MAISHA unajua kula wewe?........................... ..........una laki moja tu mfukoni unabadili na njia hivi wewe una ona ni tajili kuwa na milioni 20 milioni 300 hapo sawa....... USIKOSE LE

GWARIDE YA MIAKA 55 YA UHURU

MIAKA 55 YA UHURU:Magufuli akagua gwaride: https://youtu.be/b_YizMpB61k

LIKELY DIAGNOSIS

Image
A 53yrs old female develope gradual onset of swelling of left lower limb for 7days, no hx of trauma, no hx of sustained injury prior onset,the sweling is generalized and painful,she has been experiencing pain on such limb since september this year. O/E Swolen lower left limb from ventral left foot to knee joint with normal,small rupture vesicles not draining pus,tender on palpation pitting grade ++, Other sytems revealed normal. What could be likely Diagnosis? Give its Management to this pt?
NYAMA SIO CHAKULA Healthful Foods Cooranbong, N.S.W., HFM 24 March 10, 1900. HFM 24 During the past night many things have been opened before me. The manufacture and sale of health foods will require careful and prayerful consideration. HFM 24.1 There are many minds in many places to whom the Lord will surely give knowledge of how to prepare foods that are healthful and palatable, if He sees that they will use this knowledge righteously. Animals are becoming more and more diseased, and it will not be long until animal food will be discarded by many besides Seventh - day Adventists. Foods that are healthful and life - sustaining are to be prepared, so that men and women will not need to eat meat. HFM 24.2 The Lord will teach many in all parts of the world to combine fruits, grains, and vegetables into foods that will sustain life and will not bring disease. Those who have never seen the recipes for making the health foods now on the market will work intelligently, experimenting with t
Image
                                                         PATA TIBA KWA MBOGA HII YA MAJANI NI MBOGA NZURI